Umoja wa Ulaya umerejesha upya vikwazo vyake dhidi ya Urusi na kukubaliana juu ya ramani ya kuondosha baadhi ya vikwazo ulivyoiwekea Syria. Uamuzi huu ulifikiwa baada ya mkutano wa mawaziri wa ...
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya wanakutana hivi leo mjini Brussels, Ubelgiji kuamua iwapo wanatakiwa kuendeleza vikwazo dhidi ya Urusi kutokana na uvamizi wake nchini Ukraine.
Ofisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imethibitisha kesi za mauaji ya watoto wiki iliyopita huko Bukavu, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Hali "inazidi kuzorota ...
Hakuna tangazo madhubuti juu ya mpango wa kumaliza mzozo. Vita hivi kati ya Rwanda na DRC vinaleta wasiwasi ndani ya Umoja wa Afrika, AU. Ni nchi moja tu, Burundi, iliyoomba siku ya Jumapili ...
Katibu Mkuu wa chama kikuu tawala cha Liberal Democratic, LDP cha nchini Japani Moriyama Hiroshi ameashiria kuwa chama hicho hakina mpango wa kupeleka wabunge wake kwenye mkutano wa Umoja wa ...
Waziri wa Ulinzi wa Marekani Pete Hegseth ameziambia nchi wanachama wa Umoja wa Kujihami wa Nchi za Kaskazini mwa Atlantiki, NATO kwamba Marekani inatafuta kuhitimisha jukumu lake kama “mdhamini ...
Wafanyakazi 24 wa Umoja wa Mataifa, pamoja na wafanyakazi kutoka NGOs nyingine za ndani na kimataifa wameshikiliwa na waasi wa Houthi katika miezi michache iliyopita. Wimbi la watu kukamatwa mwezi ...
Lakini katika mkutano wa Umoja wa Mataifa Uingereza Marekani na Ufaransa ziliilaani Rwanda kwa kuunga mkono hatua hiyo, na baraza la usalama lilitaka kuondolewa kwa vikosi vya nje. Kenya imeitisha ...
chombo huru cha wataalamu kinachosimamia ufanisi wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika katika kutii Mkataba wa haki za mtoto wa Afrika, ilibaini kuwa Tanzania ilikiuka haki ya wasichana ya kupata ...
The 2026 United Nations Public Service Awards (UNPSA) has been launched and applications are now open. UNPSA is a prestigious international recognition of excellence in public service. It rewards ...
Hate continues to grow at an alarming speed, and the world must do more to fight growing antisemitism the Secretary-General said on Monday, honouring the victims of the Holocaust and those who ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results